Slider


Sports

Life & style

Comments

Fashion

Technology

Blogroll

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus leo ante, consectetur sit amet vulputate vel, dapibus sit amet lectus. Etiam varius dui eget lorem elementum eget mattis sapien interdum. In hac habitasse platea dictumst.

TEZI DUME

Hutokea baada ya tezi ya prosteti kuvimba au kuongezeka ukubwa wake kusiko kawaida na kusababisha Kupungua au kusinyaa kwa urethra na kusababisha mkojo Kushindwa kupita kutoka nje.
  • Hakuna chanzo sahihi Cha tatizo la Tezi dume

Mambo ambayo yanaweza kuwa sababu kutokea tezi dume
  • Umri mkubwa >40yrs
  • Mawe kwenye kibofu Cha mkojo
  • Maambukizi ya njia ya haja ndogo (U.T.I)
  • Matatizo ya figo kufanya kazi vizuri
  • Kitambo/Uzito kupita kiasi
  • Mwili kukosa mazoezi
Dalili za tezi Dume
  1. Kutokumalizamkojo
  2. Kupata Ugumu wakati wa Kukojoa
  3. Kushindwa Kuzuia Hamu Ya Kukojoa
  4. Wakatiwausikukukojoamarakwamara
  5. Kuishiwa Nguvu Za Kiume
  6. Mkojo kutoka bila nguvu
MAMBO YA KUZINGATIA

  • Epuka matumizi ya kafeini
  • Epuka/ acha kutumia pombe 
  • Kula mlo kamili
  • Epuka kunywa kinywaji chochote usiku /kabla ya kwenda kulala.
  • Panga ratiba /Kuwa na muda maalum wa kukojoa (Kifanye kibofu Cha mkojo kujenga mazoea na ratiba ya kukojoa) walau kila baada ya masaa 4 hadi 6
  • Epuka mazingira ya baridi 

Unaweza kuwasiliana nasi kwa maelezo na masada zaidi wa MATIBABU 0684127127 - 0743127127

Post a Comment

Translate