Slider


Sports

Life & style

Comments

Fashion

Technology

Blogroll

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus leo ante, consectetur sit amet vulputate vel, dapibus sit amet lectus. Etiam varius dui eget lorem elementum eget mattis sapien interdum. In hac habitasse platea dictumst.

MAFINDO FINDO (TONSILLITIS)

Mafindo findo (Tonsillitis) Nimaambukizi yanayosababishwa na aina tofauti tofauti ya vimelea vya maagonjwa ikiwemo bakteria,virusi,fangasi.ambavyo husababisha kuvimba kwa findo (Tonsil)


Uenezwaji/Maambukizi

Mafindofindo huenezwa kwa njia ya

  • Hewa

    • Kwa kupiga chafya

    • Kwa kukohoa

  • Kugusa majimaji yenye vimelea

    • Kubusu

    • Kubadilishana mate (kunyonyana ndimi)

    • Kubadilishana vinywaji

Dalili/Ishara za Tatizo

  • Maumivu

    • Hutokea sehemu yenye uvimbe pamoja na maeneo ya masikio

    • Wakati wa kumeza kitu chochote

  • Mwili mzima kuhisi.

    • Mwili kuchoka

    • Kuhisi homa (mwili wa moto)

    • Kutetemeka

    • Kuhisi uchovu

  • Pua

    • Mafua (makamasi kuteremka)

    • Pua kuziba

    • Kupata shida ya kupumua

  • Masikio na mdomo

    • Kupata shida ya kusikia  na kuongea

    • Kupumlia mdomo

  • Dalili zingine

    • Shingo kuvimba

    • Kutokwa na machozi

    • Kukosa hamu ya kula

    • Kuvimba mitoki

Mafindo findo hutibika pale upatapo matibabu sahihi.

Njia za kujitibu mwenyewe bila kwenda hospitali zipo .

Unaweza tumia njia hizi kutatua tatizo la mafindo findo.

Kumbuka. Kama Moja ya njia hizi haitafua dafu tafadhali wahi kupata ushari wa daktari.

  • Maji ya Moto na asali tumia Kama unavyojua andaa chai

  • Maji ya Moto na chumvi fanya Kama hapo juu.

Muone mtalaam wa afya kwa ushauri wa dawa gani sahihi ya kutumia.

Kama mafindo findo haikutibika kwa muda wa mwezi unahitaji uchunguzi zaidi wa kitalaam.


Pia Kama mafindo findo haijafanikiwa kutibika unahitaji tiba ya Upasuaji kuziondoa.

Post a Comment

Translate