Slider


Sports

Life & style

Comments

Fashion

Technology

Blogroll

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Vivamus leo ante, consectetur sit amet vulputate vel, dapibus sit amet lectus. Etiam varius dui eget lorem elementum eget mattis sapien interdum. In hac habitasse platea dictumst.

Je wajua kuna madhara gani kwa mtoto mchanga kutopata maziwa ya mama tu ?


Mama anapojifugua anashauriwa kumnyonyesha mtoto maziwa yake tu ndani ya miezi Sita (6) bila kumchanganyia kitu kingine.


Mama anashauria kumnyonyesha mtoto sio chini ya dakika 30


Unashauriwa kumnyonyesha mtoto maziwa (matiti) yote ili kumsaidia mtoto kupata lishe  ya kutosha


Kuna faida zipi pengine  ambazo mama na mtoto


Husaidia mtoto kupata virutubisho vyote muhimu kwa afya na ukuaji wa mtoto


Husaidia kutengeneza urafiki na upendo kati ya mama na mtoto


Humsaidia  mama kumkinga na saratani ya matiti


Unyonyeshaji mzuri Wa mama humsaidia kutopata ujauzito ni kuwa na maana kwamba hutumika kama njia ya uzazi wa mpango kwa mama


Humlinda mtoto dhidi ya  magonjwa kadha wa kadha kama kuharisha


Husaidia mama kurudisha tumbo lake kurudi kwenye hali yake ya kawaida kama awali


Humlinda mtoto asipate ulemavu au udumifu (kudumaa) wa akiri


Humsaidia mtoto kukua  na kuwa na afya bora


Matatizo yapi ambayo mama na mtoto anaweza yapata kama hata nyonya maziwa ya mama?


Husababisha mtoto kukosa afya bora na kumfanya kupata utapiamlo


Hupunguza urafiki na upendo kwa mtoto na mama


Humweka mama kwenye hatari ya kupata ujauzito ndani ya muda mfupi


Husababisha mtoto kudumaa kiakiri na afya mbaya.


Humpelekea kwenye hatari ya mama kupata saratani ya matiti na maziwa kuvimba au kujaa


Ahsante


Kama umependa makala  hii Tafadhali usisahau kutoa maoni yako pamoja na ushauri


Pia kama unaswali Unaweza kututafuta kwa WhatsApp no. 0684127127

Post a Comment

Translate